Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Wameshakuwa na vitengo, kwanza Wengi wapo nje ya nchi, mmoja kafariki, na mwingine alipigwa panga akachizi, panga la kichwani, hivo si rahis kuwajua,

Hata Telemoni alishafariki kitambo
 
Lakin hata wewe najua upo karibu na jiko jengo lile jeupe mithiri ya meli, ambako mtu akitaka kukuona lazima aje siku za kawaida isipokuwa ijumaa maana akijichanganya watamuona jumatatu,
Alafu majina mnaitana chief, simu haziruhusiwi
Kwa hiyo kuna majengo mengine inaruhusuwa kwenda Jumatatu-Alhamis, ukienda Ijumaa hurudi mpaka Jumatatu...

Kweli yaliyomo yamo.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee
 
P Mbona unaruka hizi suspitions za kuwa mwenyeji jikoni alizozizua brittanica.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…