Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Mkuu Rohojin, kwenye siri, kuna confidential, secret, ina seal nyeusi, classified secret ina seal ya blue na top secret in seal nyekundu. Hivyo top secret zipo, hizo data za Katto alizonazo britanicca ni top secret.
P

Haaaahaaaa....as long wanaoshika hizo data ni binadamu, jua fika ni suala la muda tu.
By the way, you are fascinated to know Kato is one step ahead....it makes you guys feeling amazing!🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Mkuu Rohojin, kwenye siri, kuna confidential, secret, ina seal nyeusi, classified secret ina seal ya blue na top secret in seal nyekundu. Hivyo top secret zipo, hizo data za Katto alizonazo britanicca ni top secret.
P
Samahani pasco siri hizi zina mihuri ya rangi gani 1.uchaguzi 2.mwenge 3.mitihani ya kitaifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii dunia ukiifatilia deeply utajipasua kichwa bure,kuna mijamaa inaplan vitu vingi tu with the help of dark forces behind

Mnashangaa huyu jamaa kuwepo kwenye mipango ya miaka mitatu tu mbele(msijidanganye kuwa huyu alitabiri) wakati wamarekani wana plan 100 years ahead
 
Lakin hata wewe najua upo karibu na jiko jengo lile jeupe mithiri ya meli, ambako mtu akitaka kukuona lazima aje siku za kawaida isipokuwa ijumaa maana akijichanganya watamuona jumatatu,
Alafu majina mnaitana chief, simu haziruhusiwi

Wewe na Mayalla wote mpo kitengo sema ndio hivyo inakuwa ngumu kuaminiana...
 
Kuanzia leo naamini kuna TIME TRAVEL huyu jamaa aliyeuandika huu uzi akikua 2020 sasa akatravel hadi 2012 ndio akajifanya ni mtabiri..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Shikamoo kwa haya maono yako
kilokiki njoo umsome nabii wa kweli huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…