Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Mweeeee
 
Wazee WA kufeli hamkosekani

umefeli
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unazungumziaje kwa hali ya sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia kubwa ya watu wanaochangia uzi huu wanaonyesha kuwa matukio yaliyotabiliwa yametimia... Kibaya zaidi sio matukio mazuri... Watu kupotea,kuuwawa kwa raia, ukandamizwaji wa demokrasia ni baadhi ya mambo yaliyotabiliwa... Swali la kujiuliza je rais wetu ndio mhusika wa haya? Je hakuna watu wa chama chake humu kukanusha yanayosemwa na wachungiaji kuwa yametimia?... Naamini rais pia anapita pita humu au kuna watu wake wanapopelekea taarifa kutoka jf hasa uzi ulio na wachungiaji wengi... Je hawaoni umuhimu wa kuprove wrong uzi huu...masw ni mengi kwakweli

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 

Na hakuna mtu aliyeweka maanani mchango huu kwenye mada hii.
Bado tumenata mlemle, kazi yetu kubwa ni kuwa wajuaji hata katika yale tusiyoyajua!

Leo 'MAGAMBA MATATU' ni kama nabii aliyeshushwa kwetu kwa kazi ya utabiri alioufanya! Je tukubali anao ufahamu mkubwa kuwahusu hao "Free masons aliowahusisha, au imetokea tu'by coincidence'!

Nami ntaweka utabiri wangu wa 2020 hapa, nikiwahusisha waTanzania, bila ya 'influence' ya hao Free masons tuone itakuwaje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…