Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Hapa hata shekh Yahaya haoni ndani! Be proud of your self.
 
Mauzi hajajulikana sana ni nani naona watu wameanza kuchanganyikiwa na kuchanganya madaa

Ikaenda ikaisha na ikaishia hapo
litakuwa jambo la kawaida na watu wengi wenye kupinga serikali watatoweka na wasijulikane wapo wapi.

Jr[emoji769]
 

Please try. Try your best. I can see you can.
 
UDSM ya akina bunsen burner?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu akufumbue macho uone mwanga badala ya giza la udikteta!

tunapigania utawala wa sheria na haki, na ndio tunawataka watanzania wote pamoja na wewe tuelewe!
Tanzania ni ya watanzania wote, si ya hao unaowataja! Amka!
Mkuuu toa maoni yako tena
 
Kweli Yajayo yanafurahisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…