Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

huyo magamba matatu ni K, J.M. Ukisoma haya maandishi unamuona kabisa ndio yeye.
 
Hakuna lolote!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ni mawazo yako , naweza kukuambia kuwa haya unayoyasema baadhi tao yapo sasa hivi , ubabe , kuvunjwa kwa baraza la mawaziri na mengine , free mason kuongelewa na wapuuzi bila sababu za msingi , so hakuna jipya
Sina hakika kama mnaweza kurudia mawazo yenu tena baada ya miaka 7 tokea UZI hu uwepo humu. Hadi nimeogopa cause is like everything alicho predict jamaa kimekua!
 
Ni nani aliyemleta TB Joshua hapa Tanzania mara tu baada ya uchaguzi...?
Je.ile ziara ilileta manufaa kwa waliyokubaliana......?

Mi nakunywa mchuzi tu nyama zina wenyewe.......
 
Tb Joshua alitembea pekupeku alivyoshuka airport na tangu siku hiyo nchi ikapata laana ndo maana kila Jambo linakwama
 
Kweli JF ni Msitu kuna uzi jamaa alipost anaomba namna ya kupata mkopo anasema alipata admission Udom.
 
Prophetic
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…