Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Hii siyo kufukua kaburi bali kufukua likaburi hatari sana
 
Naona umeshajiridhisha kuwa utabiri wako haukuwa sawa kwa maana Rais tuliyonae hana sifa hizo za udikteta kama hizo za kidikteta kama ulivyotabili, huyu wetu ni mtu wa watu, chaguo la watanzania, na n mpenda maendeleo, kwa hapa uzandiki wako umegonga mwamba.
 
Hii dunia ina siri nyingi sana, Magufuli hapo alipo huenda akawa ni kama nembo tu ila kuna watu wapo nyuma yake wana mcotrol, ndiyo maana kuna siku alisha wai kusema urais ni mzingo yaani ni kama vile anajilaumu kukubali kuwa hapo alipo...
 
Hii dunia ina siri nyingi sana, Magufuli hapo alipo huenda akawa ni kama nembo tu ila kuna watu wapo nyuma yake wana mcotrol, ndiyo maana kuna siku alisha wai kusema urais ni mzingo yaani ni kama vile anajilaumu kukubali kuwa hapo alipo...
Hili sio kweli, sikubaliani na wewe.Ni kweli kuna watu wanaopanga nani awe Raisi Ila akishaingia ni vigumu kumcontrol labda awe ni mtu anayeruhusu kuwa controlled yeye mwenyewe.Wakishamuwezesha kuingia madarakani na akaharibu wanachoweza kufanya ni kuforce anayefata awe ni mwenye uwezo wa kurekebisha alipozingua aliyetangulia. Ndo maana baada ya JK kuharibu iliamriwa lazima aingie JPM by all means, kwa hili hata JK hakuwa na uwezo wa kulipinga, amri ilishatoka.
 
Kama kamanda aliandaliwa tangia mda mrefu na tabia zake walikuwa wanazijua iweje tena walio mweka kwenye kiti waanze tena kumpiga vijembe kwenye mitandao? Kichwa kinaniuma
 
Acha itawaliwe tu manake udikteta nao ni miongoni mwa aina za uongozi na ndiyo unaohitajika kwa sasa hakuna kubembelezana km sepa nje ya Nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumbavu kabisa
 
Vipi bado ujumbe wako hujaufuta mzee
Mungu akufumbue macho uone mwanga badala ya giza la udikteta!

tunapigania utawala wa sheria na haki, na ndio tunawataka watanzania wote pamoja na wewe tuelewe!
Tanzania ni ya watanzania wote, si ya hao unaowataja! Amka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi kama alivo trump, au Obama unaingia ikulu unajua mambo sivo kwa nje ndo mana ma Raisi huzeeka na mengi
Hii dunia ina siri nyingi sana, Magufuli hapo alipo huenda akawa ni kama nembo tu ila kuna watu wapo nyuma yake wana mcotrol, ndiyo maana kuna siku alisha wai kusema urais ni mzingo yaani ni kama vile anajilaumu kukubali kuwa hapo alipo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah, watu kweli mnaona mbali. Yaani yoote aliyoyaandika humu ndan yametimia.

Salute mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…