Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

wewe ni mtume? uliandika na utabir umetimia
 
Mwandishi wa hii taarifa ya Mwaka 2012 anahitajika kupewa medali ya DHAHABU kwa huu utabiri though watu wengi walimpinga but uhalisia wa maisha ndo huu tunauona.

PONGEZI SANA MKUU KWA UTABIRI.
Wakati anapewa hiyo medali awe ughaibuni kwa mabeberu waliomtuma.
 
Huyu jamaa mtoa post yuko wapi nimuulize habari za kesho yangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…