Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Alichoandika muandishi uenda ikawa moja kwa moja sio / ndio sahihi, inategemea na mtazamo wako binafsi (perception) kama ukiamua kuacha kuutazama ukweli halisi uliopo...

Alichofanya muandishi ni kitu kinachoitwa Superforecasting, kitendo cha kutumia ujuzi wa jambo fulani (knowledge & experience), mfano kwenye Siasa na kufanya predictions, unahitaji elimu na ujuzi mkubwa sana kwenye eneo husika unalotaka kufanya utabiri ili kuwa sahihi na predictions zako (Probabilistic reasoning), so uenda muandishi huyu ni Mwanasiasa mbobezi, Muandishi wa Siasa, mfuatiliaji wa Siasa za Tanzania au ni mmojawapo wa wale wengineo.

Miaka ya hivi karibuni, Mataifa mbalimbali na Makampuni yao yameweza kuja na technology (Artificial intelligence (AI) na Prediction algorithms) zenye kuweza kufanya utabiri kwenye nyanja mbalimbali za Ulinzi (IARPA, DARPA, n.k), Siasa, Uchumi, nk. ili kusaidia kuondoa failures za kiushauri, maamuzi na utendaji katika maeneo mbalimbali...

...Anyway, ngoja na mimi nijaribu kutabiri kama MAGAMBA MATATU kama nitapatia...Amini usiamini Pascal Mayalla wakati wowote eidha ndani ya dk 45 za sasa au kabla dk 90 kuisha uenda akapewa nafasi 🙂

 
Wewe na Mayalla wote mpo kitengo sema ndio hivyo inakuwa ngumu kuaminiana...
Kuna vitu vingine, mtu unabaki kucheka tuu.
Mtu wa kitengo, angeweza kupandisha bandiko hili?

P
 
@Pascal Mayalla bandiko kitu gani bhuana?
 

Uwezo kiuongozi ulikuwa taken for granted!
 
Kabisa mkuu Yaani ni kushabikia Barrick kumuangusha Acacia hapa Tanzania na wakati lao ni moja

Napata shida kuamini kuwa system ndiyo imetuongoza kufanya tuliyoyafanya kuhusu makinikia na kutumia taarifa husika kudhalilisha viongozi wetu wastaafu mbele ya kamera za television. Labda kama ndani ya system nako kuna 'kitchen cabinet' inayotumika kwa kazi chafu. Vyovyote iwavyo kuna kitu tumejifunza.
 
Nnaona kama Mengi sana aliyonena yametimia
 
Nabii.....
Fungua kanisa ukule vya mimbarini.......
 
Vyama vyenyewe kidikteta, nyumba yako hivyohivyo.

Tulia unyolewe
 
MAGAMBA MATATU ni kama alikua na chembechembe za unabii hivii!! Kaandika kabla hata ya uchaguzi...na mengi (kulingana na mtizamo wa mtu binafsi) yametokea na yanatokea...Sijui yuko wapi mana last seen ni ya mda mrefu sana!!
 
''Pia suala la ajira litaendelea kutesa nchi na ongezeko la wasomi itakuwa pia tatizo hivyo itamlazimu kutumia sheria kali na za kibabe ili kuendesha utawala wake''.

''Vyombo mbalimbali vitanyimwa uhuru wa kutoa mawazo yao hii itapelekea vyombo vya habari vya magharibi kumuulika nchi na hivyo hali kuwa mbaya zaidi''.

Asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…