Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Waliompa plan jpm ya kutawala hv anavofanya walimchomesha bila yeye kujijua!matokeo yake atakuja jutia!kuna ulinzi wa ikulu na ule usioonekana!!hizo damu zita mlilia sana!!
 
Da uliona mbali sna dingi
 
Umekumbusha hii project. Ila kwa kuwa hayo yalikuwa ni maono yako, yanaheshimika na yanakinzana na ukweli mwingineo ambao hukuujua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee wewe ndiye mtume na nabii wa kweli. Uliyo tabiri yote yana fanyika.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha kusikitisha huyu ndugu tangu atoe huu Uzi hajawahi kuuchangia tena. Njoo bwana MAGAMBA MATATU japo utusabahi tu halafu upotee tena!

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kusikitisha huyu ndugu tangu atoe huu Uzi hajawahi kuuchangia tena. Njoo bwana MAGAMBA MATATU japo utusabahi tu halafu upotee tena!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheki particulars zake kwenye profile mara ya mwisho ameingia JF ni 07/ May/ 2020
 
Binadamu ndiye awezaye kum-control binadam akiwa ktk nafasi iliyoaminishwa ktk jamii kuwa ni sahihi kutoa majibu na mwelekeo ya maisha ya mwanadaamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…