Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Pole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa ulikuwa nabii aisee dah!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barikiwa na Bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina wasiwasi kweli jamaa atakuwa ni wajikoni,kwa hesabu za mwananchi wa kawaida usingemuweka Magufuli kwenye viatu hivi.Hata yeye mwenyewe hakuwahi kufikiria.
Kama ni utabiri na ufatiliaji kweli ulijaribu kujitahid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni rahisi sana kumtowa huyu mtu machimboni.

Mimi nina kawaida nikipita kwenye trolley kununuwa matunda nikiambiwa mwwnyewe hajulikani wapi alipo basi huchaguwa matunda nikaondoka. Hupigi hatua 2 mwenyewe utamuona!

In this case, ajitokeze muhuni tu aseme kuwa ni yeye basi huyu jamaa au mtu anayemjuwa huyu jamaa atajitokeza tu.
 
Mkuu, natumai bado uko hai na unaina kinachoendelea..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani, kuuliza si ujinga; Je, wewe ni Meko au Bashite? [emoji26]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…