Kuanzia kesho Jumatatu nitakuwa natoa salamu kwa wahusika wafuatao kuelekea Derby ya tarehe 8 Machi 2025, ama hakika Ubaya Ubwela

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Kuelekea mchezo wa Derby tarehe 8, kuanzia kesho nitakuwa naachia salamu mbalimbali kwa wahusika wafuatao:

Tarehe 3 nitatoa salamu kwa uongozi wa Simba

Tarehe 4 nitatoa salamu kwa benchi la ufundi na ushauri wa namna kikosi kinachopaswa kucheza kulingana na unajimu wang

Tarehe 5 nitatoa salamu kwa wachezaji wa Simba SC

Tarehe 6 nitatoa salamu kwa mashabiki na wanachama katika matawi

Tarehe 7 nitatoa salamu kwa waamuzi waliopangwa katika mchezo huo wa do or die
Ubaya Ubwela labda wanizunguke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…