Kuelekea mchezo wa Derby tarehe 8, kuanzia kesho nitakuwa naachia salamu mbalimbali kwa wahusika wafuatao:
Tarehe 3 nitatoa salamu kwa uongozi wa Simba
Tarehe 4 nitatoa salamu kwa benchi la ufundi na ushauri wa namna kikosi kinachopaswa kucheza kulingana na unajimu wang
Tarehe 5 nitatoa salamu kwa wachezaji wa Simba SC
Tarehe 6 nitatoa salamu kwa mashabiki na wanachama katika matawi
Tarehe 7 nitatoa salamu kwa waamuzi waliopangwa katika mchezo huo wa do or die
Ubaya Ubwela labda wanizunguke