Kuanzia leo Mimi sio Mtanzania Tena.

popote niendapo nitaukana hadharani utanzania
 
Tuachie tz yetu urudi kwenu tuendelee kuoa mema ya nchi
 
Naukana Utanzania rasmi kuanzia leo.

Siutaki hata kidogo najionea nuksi tu.

Nitakuwa mtanzania mpaka kiumbe fulani kitoke madarakani.
Hebu anza kumkana mamaako na babaako waliokuzaa hapa Tanzania halafu ndio uukane uraia. Kwanza una kitambulisho cha uraia?
 
Mkuu ulikuwa mpiga dili nn sasa hivi zimegoma?!maana sio kwa staili hii[emoji15]
 
Mbona unashindwa kumkana shetani anayekuingiza chaka kila siku?
 
Mbona unashindwa kumkana shetani anayekuingiza chaka kila siku?
 
Hivi we kiumbe, unajua madhara ya kuwa 'stateless'? Kawaulize Waislamu wa Rhohingya!
 
Hivi we kiumbe, unajua madhara ya kuwa 'stateless'? Kawaulize Waislamu wa Rhohingya!
 
Naukana Utanzania rasmi kuanzia leo.

Siutaki hata kidogo najionea nuksi tu.

Nitakuwa mtanzania mpaka kiumbe fulani kitoke madarakani.
Naomba tubadirishane uwe MKENYA na mimi niwe MTANZANIA.Hata mimi huku Kenya nimechoka na haya makabila mawili ya wajaluo na wakikuyu kutuletea shida kila siku
 
Naukana Utanzania rasmi kuanzia leo.

Siutaki hata kidogo najionea nuksi tu.

Nitakuwa mtanzania mpaka kiumbe fulani kitoke madarakani.
Aya nenda migration uanze kutulipa viza na mambo ya kazi n.k
Iwe fasta sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…