Wakuu,
Kutokana na mnakasha wa mwanajamiiforum mmoja akiilalamikia NEMC juu ya uzembe wa kutodhibiti kelele kwenye makazi ya watu na maeneo mbalimbali ya biashara napendekeza yafuatayo.
Taasisi husika ifutwe haraka maana haitimizi majukumu yake maana haiwekezani kibanda cha chupi kiwe na kipaza sauti, kibanda cha pedi kiwe na spika kubwa, kibanda cha simu kiwe na kelele asubuhi hadi jioni hii haikubaliki.
Na maeneo yenye kelele yaliyotolewa mfano ni jiji la dar es salaam limeongoza, Mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga, Iringa, Kahama, Katoro, Ifakara, yaani wananchi wamelalamika kutokea kwa Noise Pollution ambayo haina msingi wowote kisheria.
NEMC IFUTWE NI WAZEMBE SANA NA WAVIVU.
Kutokana na mnakasha wa mwanajamiiforum mmoja akiilalamikia NEMC juu ya uzembe wa kutodhibiti kelele kwenye makazi ya watu na maeneo mbalimbali ya biashara napendekeza yafuatayo.
Taasisi husika ifutwe haraka maana haitimizi majukumu yake maana haiwekezani kibanda cha chupi kiwe na kipaza sauti, kibanda cha pedi kiwe na spika kubwa, kibanda cha simu kiwe na kelele asubuhi hadi jioni hii haikubaliki.
Na maeneo yenye kelele yaliyotolewa mfano ni jiji la dar es salaam limeongoza, Mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga, Iringa, Kahama, Katoro, Ifakara, yaani wananchi wamelalamika kutokea kwa Noise Pollution ambayo haina msingi wowote kisheria.
NEMC IFUTWE NI WAZEMBE SANA NA WAVIVU.