DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Ulipigiwa Simu au Ulipeleka Viambata au Afisa Utumishi alikuambia?Mbona cc hatujapanda na tulideserve!?? Au ndio Kwa awamu?
Akili chacheText gani ya muamala inaandikwa 1.5M?
Baada ya kupata Pesa Mmekuwa Wakali na wenye Jeuri sana 🤣🤣🤣😅😅😅🤣kwanza bar unaenda kumuwekea heshima nani? Si unaenda kumchangia mwenye bar au?
Kuna watu wapuuzi kweli dunia hii, who cares umenunua vinywaji vya shi ngp kama ukimaliza kulewa unaanza kuita boda? Mbaf na nusu kabisa hawa watu
Huo ni mshahara wa Nurse mwenye Diploma aliyefanya kazi Miaka 6 au 9 tu..Kumbe manesi mna mishahara mikubwa hivyo!
ExactlyHuo ni mshahara wa Nurse mwenye Diploma aliyefanya kazi Miaka 6 au 9 tu..
Ndo anachukua 1.4 kama sikosei TGHS D
Daktari Umepotea Sana..Exactly
Anhaa ndugu yangu wewe acha tu ,nipo Kaka sema tutakuwa tunapishan kwenye hizi corridor za hili jamvi letuDaktari Umepotea Sana..
Huwa unaonekana Kwenye siku za Mishahara tu 🤣🤣🤣
Hahaha doctor na ww mtumishi wa serikali?Baada ya kupata Pesa Mmekuwa Wakali na wenye Jeuri sana 🤣🤣🤣😅😅😅🤣
Ndyo mkuuuHahaha doctor na ww mtumishi wa serikali?
Mie nakumbuka kazi yangu ya kwanza nilikua nalipwa trh 36, hawa trh 24 tu kelele hivi?Wangefanya tareh 31 ili watumishi wapate afya ya akili
Umenikumbusha yule Mheshimiwa aliyekaribishwa kwenye sherehe za kiislam (mashindano ya kusoma quran) sasa badala aongee anayoyajua eti akajidai kujiongeza "Mola awajalie kwa juhudi zenu za kuhifadhi na kusoma quran, kwa wale walio hifadhi juzuu 5 wajitahidi wahifadhi 10, wa 20 wafike 30 na wale wenye 30 wajitahidi wahifadhi mpaka 40 na kuendelea"Mie nakumbuka kazi yangu ya kwanza nilikua nalipwa trh 36, hawa trh 24 tu kelele hivi?
Umenikumbusha yule Mheshimiwa aliyekaribishwa kwenye sherehe za kiislam (mashindano ya kusoma quran) sasa badala aongee anayoyajua eti akajidai kujiongeza "Mola awajalie kwa juhudi zenu za kuhifadhi na kusoma quran, kwa wale walio hifadhi juzuu 5 wajitahidi wahifadhi 10, wa 20 wafike 30 na wale wenye 30 wajitahidi wahifadhi mpaka 40 na kuendelea"
Watu wakabaki midomo wazi
AseeHuo ni mshahara wa Nurse mwenye Diploma aliyefanya kazi Miaka 6 au 9 tu..
Ndo anachukua 1.4 kama sikosei TGHS D
🤣 🤣 🤣 🤣Wawezeshaji tupo
TUCTA ni mkia wa mbuzi! Shwaini!Taarifa kutoka TUCTA
Ndugu wafanyakazi napenda kuwataarifu kwamba kuanzia mwezi huu mishahara itakua ikitoka tarehe za mwisho wa mwezi yaani tarehe 28-30.
Lengo la kufanya hivyo ni kuondoa gap lililopo kati ya tarehe za mishahara wa sektabinafsi na sekta za Umma. Mwenyekiti wa TUCTA kasema hayo leo wakati akipongeza kuongezeka kwa asilimia ya Kikokotoo kutoka asilimia 33 mpaka 40.
PIA SOMA
- Serikali imechelewesha mishahara au haina pesa?
- Enzi za Hayati Magufuli alikuwa analipa mshahara mpaka tarehe 19 awamu hii vipi?
UPDATE:
TAARIFA HII IMEHAKIKIWA NA JAMIICHECK NA KUBAINI KUWA HAINA UKWELI. SOMA:
- SI KWELI - Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30