GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ya Kwanza......
Inawahusu CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez na Rais ajaye wa Yanga SC Injinia Hersi Said.
Ya Pili.......
Inawahusu Mwekezaji Mo Dewji na CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez.
Ya Tatu......
Inahusu sababu ya hivi Majuzi Uongozi wa Simba SC kusitisha kutoa Taarifa ambayo ilitakiwa Kuwafikia wana Simba SC wote.
Ya Nne.......
Itahusu Usaliti mkubwa alioufanya Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu ili Kuwafaidisha Yanga SC na Ahadi ya Ubunge aliyopewa na Mstaafu Mmoja mwenye Uyanga mwingi na Ushawishi mkubwa katika Serikali hii ya sasa ( ya Mama )
Ya Tano......
Itahusu Nia ya Tajiri Mkubwa ( ambaye Mo Dewji ) hata akusanye Fedha zake zote bado hamfikii Mzee ( Tajiri ) Bakhressa na Simba SC.
Ya Sita......
Itamhusu Haji Manara na Usahihi wake wa 100% juu ya Shutuma zake dhidi ya CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez na kwanini alipandwa na Hasira na kuamua Kuelekea Yanga SC.
Ya Saba......
Itahusu kwanini Yanga SC kupitia Haji Manara, Injia Hersi Said na Tarimba Abbas wanajigamba ( wanajimwambafai ) kuwa Yanga SC itabeba Ubingwa mara Tano au mara Nane Mfululuzo ( mpaka mwaka 2030 ) ambako Rais Samia Suluhu Hassan atamaliza Urais wake.
GENTAMYCINE sibahatishi na nimepata Taarifa zote kamili juu ya haya Mambo Saba ( 7 ) niliyoyaainisha hapa juu hivyo leo nataka niisimamishe JamiiForums ( hasa Wanamichezo ) na Taifa pia lisimame kwa Ufafanuzi kamili wa niliyoyasema hapo.
Tukutane kuanzia Saa 3 baadae.
Inawahusu CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez na Rais ajaye wa Yanga SC Injinia Hersi Said.
Ya Pili.......
Inawahusu Mwekezaji Mo Dewji na CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez.
Ya Tatu......
Inahusu sababu ya hivi Majuzi Uongozi wa Simba SC kusitisha kutoa Taarifa ambayo ilitakiwa Kuwafikia wana Simba SC wote.
Ya Nne.......
Itahusu Usaliti mkubwa alioufanya Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu ili Kuwafaidisha Yanga SC na Ahadi ya Ubunge aliyopewa na Mstaafu Mmoja mwenye Uyanga mwingi na Ushawishi mkubwa katika Serikali hii ya sasa ( ya Mama )
Ya Tano......
Itahusu Nia ya Tajiri Mkubwa ( ambaye Mo Dewji ) hata akusanye Fedha zake zote bado hamfikii Mzee ( Tajiri ) Bakhressa na Simba SC.
Ya Sita......
Itamhusu Haji Manara na Usahihi wake wa 100% juu ya Shutuma zake dhidi ya CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez na kwanini alipandwa na Hasira na kuamua Kuelekea Yanga SC.
Ya Saba......
Itahusu kwanini Yanga SC kupitia Haji Manara, Injia Hersi Said na Tarimba Abbas wanajigamba ( wanajimwambafai ) kuwa Yanga SC itabeba Ubingwa mara Tano au mara Nane Mfululuzo ( mpaka mwaka 2030 ) ambako Rais Samia Suluhu Hassan atamaliza Urais wake.
GENTAMYCINE sibahatishi na nimepata Taarifa zote kamili juu ya haya Mambo Saba ( 7 ) niliyoyaainisha hapa juu hivyo leo nataka niisimamishe JamiiForums ( hasa Wanamichezo ) na Taifa pia lisimame kwa Ufafanuzi kamili wa niliyoyasema hapo.
Tukutane kuanzia Saa 3 baadae.