WAZO ZURI SANA,tuzingatie yafuatayo:
-utii wa sheria
-ukabila
-Rushwa
kwa kawaida watanzania tukienda nchi ya watu,huwa tunapeleka ugonjwa wa mdudu Rushwa, e.g Swaziland wameshaaambukizwa
mimi nimesikia kuna fursa katika secta ya usafiri biashara ni nzuri sana, kusaga na kupaki vyakula e.g Sembe,ngano.
kuna wahindi/warabu wameenda kufungua kiwanda cha plastics huko huko
Je ni mji gani biashara ipo nzuri zaidi?
Mkuu upo Maputo cidade/Provincia? Na kampuni yako inaitwaje ili tuje kujionea?Kwa Uzoefu wangu mpka sasa ni Maputo, Ila hata miji mingine kutakuwa poa tu, sema sijatembea.
sidhani kama Saccos zipo.Sante sana, saccoss zipo nyingi kule? Tukishaanzisha huku inabidi tukafungue sacco nyingine kule.
sidhani kama Saccos zipo.
<br />sidhani kama Saccos zipo.
Obrigado amigo. Já estou cá desde 2011 e consegir abrir um negócio e agora estou a fazer um bom tako. Valeu mano.