Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,288
- 791
Heshima kwenu wakuu.
Nimekuwa nikiwaza na kuwazua kuanzisha biashara mpya ya uzalishaji katika kujiongezea kipato endelevu, kuna mawazo kadhaa yapo mezani; kati ya Mengi linenivutia zaidi wazo la kuanzisha Distillery ya vinywaji vikali kutokana na Ngano, Uwele, Viazi na Malighafi nyingine ambazo kwa hakika zinapatikana kwa bei ya chee sana na kwa wingi, najua ni kazii ngumu na inahitaji muda, utaalam na pesa. Napenda kupata mawazo kutoka kwa wadau ambao kwa namna moja ama nyingine wanafahamu kitu kuhusu sekta hii. Pia ningefurahi kama kuna Engeneers waliobobea katika fani hii wakanipa mwanga kwa machinery zinazohitajika, na wapi zinapatikana. Natanguliza shukrani zangu wakuu.
Nimekuwa nikiwaza na kuwazua kuanzisha biashara mpya ya uzalishaji katika kujiongezea kipato endelevu, kuna mawazo kadhaa yapo mezani; kati ya Mengi linenivutia zaidi wazo la kuanzisha Distillery ya vinywaji vikali kutokana na Ngano, Uwele, Viazi na Malighafi nyingine ambazo kwa hakika zinapatikana kwa bei ya chee sana na kwa wingi, najua ni kazii ngumu na inahitaji muda, utaalam na pesa. Napenda kupata mawazo kutoka kwa wadau ambao kwa namna moja ama nyingine wanafahamu kitu kuhusu sekta hii. Pia ningefurahi kama kuna Engeneers waliobobea katika fani hii wakanipa mwanga kwa machinery zinazohitajika, na wapi zinapatikana. Natanguliza shukrani zangu wakuu.