Wazo zuri na bongo hayo mambo ya nalipa ni pm nitakupa maelezo mazuri na watu wakufanya nao kazi siunajua hapa JF kila mtu fake
Wazo zuri na bongo hayo mambo ya nalipa ni pm nitakupa maelezo mazuri na watu wakufanya nao kazi siunajua hapa JF kila mtu fake
Wazo zuri na bongo hayo mambo ya nalipa ni pm nitakupa maelezo mazuri na watu wakufanya nao kazi siunajua hapa JF kila mtu fake
sasa wakienda pm uku tubaki na nani sasa wabongo wachoyo kweli🙁
Naomba mawazo na ushauri juu ya vifaa gani muhimu vya kuwa navyo kwa kuanzisha video production company? Vifaa kama editing computers, software etc. Na naweza kuvipata wapi?
Naomba mawazo na ushauri juu ya vifaa gani muhimu vya kuwa navyo kwa kuanzisha video production company? Vifaa kama editing computers, software etc. Na naweza kuvipata wapi?