SoC04 Kuanzisha mfumo wa usimamizi wa pesa za umma zinazotumika kwenye miradi mbalimbali

SoC04 Kuanzisha mfumo wa usimamizi wa pesa za umma zinazotumika kwenye miradi mbalimbali

Tanzania Tuitakayo competition threads

obysam221

New Member
Joined
May 30, 2024
Posts
2
Reaction score
2
Tanzania imekuwa moja ya nchi ambazo zinatafunwa na watu baadhi ambao wanachukua pesa za umma kwa matumizi yao binafsi kwa mujibu wa CAG kila wizara imepatkana na baadhi ya watu wabadhilifu kwa pesa za miradi.

Hivyo basi kwa kuanzisha mfumo wa akili mnemba (AI system) ambayo itaorodhesha matumizi ya pesa za kila miradi kama zimetumika kwa usahihi.

Mfano, pesa ya mradi fulani wa barabara ikitolewa benki lazima matumizi yake yote yaainishwe na uambatinisho wa evidence kusapoti kama pesa imetumika kwa manufaa ya nchi.

Kama pesa imechukuliwa kwa ajili ya kununua vifaa, basi risiti zote ziwepo na pia zikaguliwe authenticity yake.

Pia wawepo baadhi ya watu watakao kuwa wanasimamia huo mfumo.

Kwa kufanya hivi basi itapunguza matumizi mabaya ya mali ya nchi
 
Upvote 2
Hivyo basi kwa kuanzisha mfumo wa akili mnemba (AI system) ambayo itaorodhesha matumizi ya pesa za kila miradi kama zimetumika kwa usahihi.

Mfano, pesa ya mradi fulani wa barabara ikitolewa benki lazima matumizi yake yote yaainishwe na uambatinisho wa evidence kusapoti kama pesa imetumika kwa manufaa ya nchi.

Kama pesa imechukuliwa kwa ajili ya kununua vifaa, basi risiti zote ziwepo na pia zikaguliwe authenticity yake.
Sawa mfumo utasaidia lakini kiasi tu, maana mfumo ulitakiwa kuja kuwasaidia watu kutenda wanayoyatenda vizuri.

Ikiwa hatutaki kama watu tusitegemee mfumo mnemba kutuondoa kwenye ubadhirifu ghafla tu.

Inavyoonesha ni kama tunataka rais mnemba na watendaji wote mnemba, kupoteza imani na watu kwa kiwango kikubwa sana. Yaani hii bongo asee, lqkini tutafika tu kwa kusaidiana na mifumo. Inaanza na sisi watu
 
Back
Top Bottom