Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Habari za majukumu wakuu wenzangu na wadogo zangu pia.
Sababu ya kusema hivi ni kwamba nimeangalia wanajamvi kwenye huu mtandao ni wengi mno ila wanao anzisha mada ni wachache sana.
Kwanza:
Mimi kwa mawazo yangu nahisi wengi wao wakiona mtu kaanzisha mada jinsi anavopambana na watu humu itakua wanahofia kuja kukutana na dhoruba kama hizo.
Pili:
Kujiamini na kupata ujasiri wa kuweka thread yataka moyo na ujasiri, sasa pengine mtu hajiamini.
Tatu:
Mtu hapendi kuja kulumbana na watu maana pengine ukimtizama tu analia sasa anaogopa kuja kuzidisha machozi hapa.
Mengine ni masuala ya mtu binafsi anajua mwenyewe kwanini hata kama ana shida ya kutaka kujua kitu kupitia hapa hawezi kuja kuweka thread yake.
Mwisho niwapongeze wale wote ambao wakiweka thread hapa wanakutana na masahibu makubwa lakini wanavumilia vishindo.
Sababu ya kusema hivi ni kwamba nimeangalia wanajamvi kwenye huu mtandao ni wengi mno ila wanao anzisha mada ni wachache sana.
Kwanza:
Mimi kwa mawazo yangu nahisi wengi wao wakiona mtu kaanzisha mada jinsi anavopambana na watu humu itakua wanahofia kuja kukutana na dhoruba kama hizo.
Pili:
Kujiamini na kupata ujasiri wa kuweka thread yataka moyo na ujasiri, sasa pengine mtu hajiamini.
Tatu:
Mtu hapendi kuja kulumbana na watu maana pengine ukimtizama tu analia sasa anaogopa kuja kuzidisha machozi hapa.
Mengine ni masuala ya mtu binafsi anajua mwenyewe kwanini hata kama ana shida ya kutaka kujua kitu kupitia hapa hawezi kuja kuweka thread yake.
Mwisho niwapongeze wale wote ambao wakiweka thread hapa wanakutana na masahibu makubwa lakini wanavumilia vishindo.