Kuanzishiwa uchungu wa uzazi

OCC Doctors

Senior Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
113
Reaction score
172
Mjamzito ataanzishiwa uchungu (Induced labour) ikiwa kutakua na hatari iliyothibitishwa kwa mama au mtoto, au kwa wote wawili.

Baadhi ya sababu za kuanzishiwa uchungu ni pamoja na Matatizo ya shinikizo la damu wakati wa ujauzito, kupitiliza siku ya kujingua kati ya wiki 41 na 42, ugonjwa wa kisukari wa mjamzito na mtoto kuchoka kupita kiasi.

Hatari ya kifo wakati wa kujifungua huanza kuongezeka katika mimba zinazoendelea zaidi ya wiki 42.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…