Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 990
Kuna jamaa yangu (research scientist) alikuja hapa nchini akafanya kazi Mikoa ya Mwanza na Shinyanga. katika mambo aliyojifunza Tanzania ilikuwa ni pamoja na lugha ya kibantu ijulikanayo kama kisukuma. huyu jamaa kwasasa yuko California na anataka kuanzisha darasa la kufundisha watu kisukuma hapo Marekani (US). Amenifurahisha sana, nimejitolea kumpa biblia aliyoiacha babu yangu (kwa lugha ya kisukuma) na kitabu cha tenzi za rohoni (kwa lugha ya kisukuma). Sikuwa na vitabu vya kisukuma vya hadithi na mengineyo. Kama unapenda kushirikiana na huyo jamaa kwa kuboresha darasa lake la kisukuma karibu.
Jihabarishe hapa kama ulikuwa huji kuwa hii nayo ni lugha kubwa kuliko hata kiswahili kwa maana ya kuongelewa na watu:
Kisukuma ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wasukuma. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisukuma imehesabiwa kuwa watu 5,430,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisukuma iko katika kundi la F20. Inafanana na lugha ya Kinyamwezi:
Jihabarishe hapa kama ulikuwa huji kuwa hii nayo ni lugha kubwa kuliko hata kiswahili kwa maana ya kuongelewa na watu:
Kisukuma ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wasukuma. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisukuma imehesabiwa kuwa watu 5,430,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisukuma iko katika kundi la F20. Inafanana na lugha ya Kinyamwezi:
- Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6
- Guthrie, Malcolm (1948) The classification of the Bantu languages. London: Oxford University Press for the International African Institute.
- Jump up↑ Guthrie, Malcolm (196771) Comparative Bantu: an introduction to the comparative linguistics and prehistory of the Bantu languages. 4 vols. Farnborough: Gregg Press.
- Nngwabeja ba baba na ba mayu
- Jump up
