KUANZISHWA MIFUKO YA ELIMU ZA WILAYA NA MIKOA-Inawezekanaje?

KUANZISHWA MIFUKO YA ELIMU ZA WILAYA NA MIKOA-Inawezekanaje?

Shaycas

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2009
Posts
906
Reaction score
112
Wakubwa naombeni msaada.

Nimekuwa nasikia harambee ktk mikoa mbalimbali za kuchangia mifuko ya Elimu za Mikoa au Wilaya hizo.Je ni nani kiongozi wa mifuko hiyo na mwanzo wake unaanza vipi.

Je inawezekana mtu binafsi kuanzisha mifuko hii kwa jamii ndogo kuanzia ngazi ya familia? Kama jibu ni ndio ina kuaje?

NAAMINI KATIKA MICHANGO YENU YA MAWAZO NA KATIKA HILI KWA PAMOJA MNAWEZA KUNISAIDI.

Ahsanteni sana kwa mchango wenu wa mawazo
 
Back
Top Bottom