We yan una update acount? Mbona udsm hamna tena ku update acount ina mana sio vyote kumbe
Wakuu tangu tarehe 23 wale tunaoendelea kuomba mkopo kwa mwaka ujao inahitaj paswd.sasa hyo paswd ndo ngoma nzito.katika recovery ya paswd ndo usiseme.ambaye ameweza atwambie