Jendahyeka
Member
- May 17, 2021
- 46
- 122
Habari za majukumu wana JF bila kuzunguka zunguka naomba kufahamishwa endapo kuna uwezekano wa mtumishi wa serikali kubadili jina moja katika majina yake matatu na yakaweza kubadilika hadi katika salary slip zake
Mfano:
mtumishi anaitwa Chipindi Justine Makoloka
Anataka kubadili na aitwe Frank Justine Makoloka
Kwenye cheti chake cha kuzaliwa aliandikishwa majina mawili
Frank, Chipindi (Name of any)
Sababu kuu ya kubadili hili jina ni kutokana hitilafu za kifamilia hasa kwenye swala la kiimani yeye hayupo tayari kuabudu mizimu na wenyewe wanasema yeye Ndio Chipindi kwa kuwa hata riziki yake anaipata kwa kutumia hilo jina la Chipindi.
Naomba mnisaidie kujua huyu mtu kama anaweza kubadili hili jina na ukizingatia kwenye cheti chake cha kuzaliwa yapo majina yake yote mawili. Frank na Chipindi.
Mfano:
mtumishi anaitwa Chipindi Justine Makoloka
Anataka kubadili na aitwe Frank Justine Makoloka
Kwenye cheti chake cha kuzaliwa aliandikishwa majina mawili
Frank, Chipindi (Name of any)
Sababu kuu ya kubadili hili jina ni kutokana hitilafu za kifamilia hasa kwenye swala la kiimani yeye hayupo tayari kuabudu mizimu na wenyewe wanasema yeye Ndio Chipindi kwa kuwa hata riziki yake anaipata kwa kutumia hilo jina la Chipindi.
Naomba mnisaidie kujua huyu mtu kama anaweza kubadili hili jina na ukizingatia kwenye cheti chake cha kuzaliwa yapo majina yake yote mawili. Frank na Chipindi.