kama biashara ni hiyo hiyo inabidi aandike barua apeleke TRA aliposajili mwanzo na awaambie anaenda sehemu gani iwe rahisi kumpa barua apeleke atakapoenda kuhamia,tumia leseni hiyo hiyo huko Arusha mpk itakapoisha muda wake ila utapaswa kupata barua ya uhamisho toka TRA mkoa ulipoichukulia ili akaunti yako ifungwe na faili lako jipya liweze kufunguliwa huko Arusha muda wa kuchukua leseni mpya utakapofika
Asante sanatumia leseni hiyo hiyo huko Arusha mpk itakapoisha muda wake ila utapaswa kupata barua ya uhamisho toka TRA mkoa ulipoichukulia ili akaunti yako ifungwe na faili lako jipya liweze kufunguliwa huko Arusha muda wa kuchukua leseni mpya utakapofika
Asantekama biashara ni hiyo hiyo inabidi aandike barua apeleke TRA aliposajili mwanzo na awaambie anaenda sehemu gani iwe rahisi kumpa barua apeleke atakapoenda kuhamia,
pia unapohamia lazima ufate taratibu zile za mwanzo wakati wa usajili kama ulivyoanza huko arusha....local government to TRA.