Inawezekana ila atalipia gharama sh 20 ,000 CRDB acount ya nida ...then utaenda mahakamani kuhapa , then andika. Barua uambatanishe nida na risit ya malipo ,kiapo cha mahakama kisha utapigiwa simu kwa ajili ya kwenda ... Kubadili taarifa ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa alama za vidole upya ...ukipata changamoto ni pm