Wakuu nataka kubadili majina yangu ya kati na mwisho. Niko Tanzania. Naomba maelekezo ni hatua zipi za kisheria za kupitia ili nisije sumbuka huko mbeleni kama viongozi wa serikali yetu wanaotuhumiwa kuiba majina ya watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.