Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Nahitaji kufanya vyote yaani kubadili umiliki pamoja na matumiziHapo huenda umechanganya mambo 2,
1. Kubadili umiliki wa gari
2. Kubalidi matumizi ya gari
Je usahihi ni upi? Au vyote 2 ?
Elfu 20 ni kadi ya pikipiki ya matairi mawili, kadi ya gari ni elfu 50.Kubadili matumizi ni rahisi Sana Kama mradi tu halidaiwi mapato unaenda na elfu 20 ,kadi original na plate number zao nyeupe , Kama linadaiwa lazima ulipe.
Kubadili umiliki ndio Kuna mlolongo wa vitu ambavyo ni nida kadi ya muuzaji pamoja na pasport size photo yake,mkataba wa mauziano( tra siku hizi wanaweza kukataa Bei iliyowekwa kwenye mkataba),kadi original ya gari
Nitafute inboxWakuu naomba kufahamu zaidi, Nilinunua gari kadi ikisoma commercial ila ninataka kuibadilisha kuwa ya binafsi.Naomba kujuzwa taratibu.Nawasilisha