Mkuu Nyenyere inategemea upo bank gani, Kama ni CRDB inawezekana, na bank nyingi tu wanabadilisha bila shida
Kuna Accounts za aina mbili Saving na Current(business)account
Tofauti yake ni kwamba Saving hautumii Cheque book kama unavyotumia kwenye Current account
Pia mara nyingi Current account ni za makampuni nk, kifupi ni za kikazi na biashara
Inawezekana unataka account yako ionekane ya siku nyingi hivyo ukifungua mpya itashindwa kuonyesha flows ya account yako, chakufanya nenda bank husika uwaeleze na wataibadilisha kwa wewe kujaza form maalum na kuandika barua then watakubadilishia na watakutengenezea cheque book yako
NB
Monthly charges itakuwa kuanzia sh elf10 hadi elf20 kulingana na bank yako badala ya buku la saving acc
Mkuu Nyenyere inategemea upo bank gani, Kama ni CRDB inawezekana, na bank nyingi tu wanabadilisha bila shida
Kuna Accounts za aina mbili Saving na Current(business)account
Tofauti yake ni kwamba Saving hautumii Cheque book kama unavyotumia kwenye Current account
Pia mara nyingi Current account ni za makampuni nk, kifupi ni za kikazi na biashara
Inawezekana unataka account yako ionekane ya siku nyingi hivyo ukifungua mpya itashindwa kuonyesha flows ya account yako, chakufanya nenda bank husika uwaeleze na wataibadilisha kwa wewe kujaza form maalum na kuandika barua then watakubadilishia na watakutengenezea cheque book yako
NB
Monthly charges itakuwa kuanzia sh elf10 hadi elf20 kulingana na bank yako badala ya buku la saving acc
usisahau kwenda za docs za biashara yako kama vile brela, leseni ya biashara n.k kutegemea na biashara yako. Vinginevyo hawatakubadilishia