dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 596
- 1,475
Hivi unajua kuwa dunia ina North pole mbili na South pole mbili, ambazo moja ni za magnetic na zengine na za geograpic.
Magnetic North poles na South pole ndizo zinazosaidia kwenye kuzuia mionzi hatari iliyopo kwenye space na solar flares zilizo kwenye jua.
Sayari kama Venus na Mars zenyewe hazina magnetic poles ila dunia inayo haija julikana ni kwanini sayari nyingine hazina magnetic pole ila kunauwezakano sababu ikawa kwenye Core ya dunia ambayo inafanya kazi kama dynamo kwa kuwa kwenye outer core kuna chuma iliyo kwenye mfumo wa liquid ukumjuisha na madini ya nikel na pia kwa kuwa inner core kuwa katikati ndani ya dunia kuna pressure kubwa na kusababisha.
Kuwepo na electrical charges zinazoflow kwenye core na kisha kutengeneza magnetic field na kwa kuwa earth core inazunguka inasababisha magnetic field zisi sambae na kuflow pande mbili tu ambazo ni north na south.
Hizi magnetic poles kwa kawaida huwa zinabadilika ambapo north inakuwa south na south inakuwa north na inasemekana ilishatokea hivyo kipindi cha miaka 780,000 iliyopita. Na inasemekana earth core imeshaanza kupunguza spidi yake
Kuna uwezekano kwa mara ya kwanza kwenye historia ya uwepo wa binadamu wakashuhudia kubadilika huko ndani ya miaka kama elfu ijayo, kinachotisha sio kubadilika kwake ila ni mchakato wa kubadilika huko sababu zikiwa zinabadilika magnetic fields inayotulinda na mionzi inapungua nguvu kwa takribani asilimia 90% na kusababisha madhara makubwa kwenye dunia.
Kama vile magonjwa ya kansa tokana na mionzi pia wanyama kama ndege na nyangumi wanaotumia muelekeo wa magnetic watahangaika, kufeli kwa power grid za kuzalisha nishati kama umeme sababu power plant hutumia sumaku kubwa kutengeneza umeme satelite zitashindwa kufanya kazi na kuharibika.
Cha kushukuru madhara hayata kuwa makubwa sana kwenye mionzi kwa kuwa bado dunia ina ozone layer itayotukinga na mionzi kwa muda kwa kuwa mchakato wa kubadilika kabisa huchukua mpaka miaka elfu saba
Cha kuongezea hivi unajua kuwa sayari ya venus inazunguka juu chini tofauti na sayari nyingine hivyo hii hufanya ionekane kama inazunguka clockwise kwenye muhimili wake
wakati sayari nyingine huzunguka counter clockwise inasemekana haya ni madhara ya kugongana na vimondo vikubwa hivyo hufanya venus kuzunguka juu chini na clockwise kwenye muhimili wake na pia kufanya jua kwenye sayari hiyo kuchomoza upande wa magharibi.
Wanasayansi wanahisi huenda siku za mbele dunia ikagongana na vimondo vikubwa kama vilivyo tokea zamani na kuna theory huenda dunia ikaja kuwa kama venus ikageuka juu chini, na hii ni theory tu kwenye imani ya dini ya kiislamu na baadhi ya wakristo wachache wana amini siku za mwisho jua litachomoza magharibi huenda kukawa na muunganiko wa haya matukio, hayo ni kwa maoni yangu.
Magnetic North poles na South pole ndizo zinazosaidia kwenye kuzuia mionzi hatari iliyopo kwenye space na solar flares zilizo kwenye jua.
Sayari kama Venus na Mars zenyewe hazina magnetic poles ila dunia inayo haija julikana ni kwanini sayari nyingine hazina magnetic pole ila kunauwezakano sababu ikawa kwenye Core ya dunia ambayo inafanya kazi kama dynamo kwa kuwa kwenye outer core kuna chuma iliyo kwenye mfumo wa liquid ukumjuisha na madini ya nikel na pia kwa kuwa inner core kuwa katikati ndani ya dunia kuna pressure kubwa na kusababisha.
Kuwepo na electrical charges zinazoflow kwenye core na kisha kutengeneza magnetic field na kwa kuwa earth core inazunguka inasababisha magnetic field zisi sambae na kuflow pande mbili tu ambazo ni north na south.
Hizi magnetic poles kwa kawaida huwa zinabadilika ambapo north inakuwa south na south inakuwa north na inasemekana ilishatokea hivyo kipindi cha miaka 780,000 iliyopita. Na inasemekana earth core imeshaanza kupunguza spidi yake
Kuna uwezekano kwa mara ya kwanza kwenye historia ya uwepo wa binadamu wakashuhudia kubadilika huko ndani ya miaka kama elfu ijayo, kinachotisha sio kubadilika kwake ila ni mchakato wa kubadilika huko sababu zikiwa zinabadilika magnetic fields inayotulinda na mionzi inapungua nguvu kwa takribani asilimia 90% na kusababisha madhara makubwa kwenye dunia.
Kama vile magonjwa ya kansa tokana na mionzi pia wanyama kama ndege na nyangumi wanaotumia muelekeo wa magnetic watahangaika, kufeli kwa power grid za kuzalisha nishati kama umeme sababu power plant hutumia sumaku kubwa kutengeneza umeme satelite zitashindwa kufanya kazi na kuharibika.
Cha kushukuru madhara hayata kuwa makubwa sana kwenye mionzi kwa kuwa bado dunia ina ozone layer itayotukinga na mionzi kwa muda kwa kuwa mchakato wa kubadilika kabisa huchukua mpaka miaka elfu saba
Cha kuongezea hivi unajua kuwa sayari ya venus inazunguka juu chini tofauti na sayari nyingine hivyo hii hufanya ionekane kama inazunguka clockwise kwenye muhimili wake
wakati sayari nyingine huzunguka counter clockwise inasemekana haya ni madhara ya kugongana na vimondo vikubwa hivyo hufanya venus kuzunguka juu chini na clockwise kwenye muhimili wake na pia kufanya jua kwenye sayari hiyo kuchomoza upande wa magharibi.
Wanasayansi wanahisi huenda siku za mbele dunia ikagongana na vimondo vikubwa kama vilivyo tokea zamani na kuna theory huenda dunia ikaja kuwa kama venus ikageuka juu chini, na hii ni theory tu kwenye imani ya dini ya kiislamu na baadhi ya wakristo wachache wana amini siku za mwisho jua litachomoza magharibi huenda kukawa na muunganiko wa haya matukio, hayo ni kwa maoni yangu.