Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
....wl. J.K. Nyerere Mlimani Campus..... TANGU LINIIiiiiiii
Duh nashukuru mwaka huu cna kikao
Eti ni kweli tarehe yakufungua chuo kwa continues imepelekwa mbele,badala ya tar.6/10/2014 ni tar 18/10/2014?.msaada please kwa anaejua.
wewe ndio kilaza! unauwezo mdogo wa kufikiri.almanac nilishaisoma ndio maana nikasema tetesi.kasome Almanac kilaza wewe
Almanac nayo haieleweki, mbona mara kibao huwa hawaifuati, mwenye ukweli kuhusu opening day atujuze basi
kwa sisi wa muce ndio tarehe ya kufungua imebdlka mpka tarhe 18
Eti ni kweli tarehe yakufungua chuo kwa continues imepelekwa mbele,badala ya tar.6/10/2014 ni tar 18/10/2014?.msaada please kwa anaejua.