kubadilisha course DIT

ams acks

Senior Member
Joined
Jun 21, 2013
Posts
101
Reaction score
13
wakuu naomba kuuliza eti unaruhusiwa kubadilisha course hapo DIT manake nimechaguliwa course ambayo sina mpango nayo.
 
wakuu naomba kuuliza eti unaruhusiwa kubadilisha course hapo DIT manake nimechaguliwa course ambayo sina mpango nayo.

inawezekanaa! Umepangiwa kozi gan kwa msaada zaidi
 
Mwisho wa siku fanya kitu roho inapenda ila mining siyo mbaya...civil sio mbaya, etc etc...inategemea wewe umeimamia wapi
 
Dogo mimi nimesoma Mining DIT na kila miaka inavyosogea hali inakuwa nzuri and am proud of it due to the place I am now ila fanya kitu roho yako inapenda ili usije kumlaumu mtu
mbeleni
 
Dogo mimi nimesoma Mining DIT na kila miaka inavyosogea hali inakuwa nzuri and am proud of it due to the place I am now ila fanya kitu roho yako inapenda ili usije kumlaumu mtu
mbeleni

poa kamanda
 
-Ukifika tafuta, mtu wa Electrical au Bio medical anaetaka kuhamia Mining, itakua rahisi sana kubadili.

-Nenda hospital kafanye udanganyifu, uonekana una ugonjwa fulani ambao utakuwia vigumu kufanya kazi za Mining, mfano ugonjwa wa moyo, hii nayo utabadilishiwa bila kipingamizi hata kidogo.

Tofauti na hayo una kazi sana ...
 
yalaaaa unachezea saraf kwnye tndu la #CHOO ? utajuta wewee wat wanalilila we unanunia sa iache utajuta kxma wewee,waloxma mning wanahsbka #tanzania coz ynyew ya juz hyo and inahtaj wat xo uktoka na hyo we #bataaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…