Baada ya kuhalalisha gongo then mtasema bangi nayo ihalalishwe na eventually mtaendelea kuhalalisha yaliyo haramu na mtafika pabaya
Nimekuletea hii nimeipata kwenye uzi mtu kaposti ili uelimike kidogo, kama hujaelewa usisite nikulainishie maneno.
======================================================================================================
MAANA HALISI YA GONGO...
Pamoja na impurities zingine zinazotakiwa kuondolewa, GONGO ni mixture(mchanganyiko) wa Ethanol na Methanol.
CHEMICAL FORMULA:
CH3OH + C2H6O = GONGO
methanol ethanol
Ambacho ni hatari kwenye mwili wa mwanadamu(sumu) ni METHANOL ambayo huuwa mapafu na mara nyingine kupofua macho.
GONGO ILIYOTENGENEZWA KIENYEJI
Wengi wanaotengeneza gongo hizi za mitaani hawana utaalamu wa kutenganisha ETHANOL na METHANOL hivyo mtumiaji kutumia kilevi hiki kikiwa na mchanganyiko wa pombe na sumu yaani METHANOL
TUTATENGANISHAJE METHANOL NA ETHANOL
Hebu angalia properties za METHANOL na ETHANOL
METHANOL:
Melting point: -97.6 °C
Molar mass: 32.04 g/mol
Density: 791.80 kg/m³
Boiling point: 64.7 °C
Formula: CH4O
Vapor pressure: 13.02 kPa
Classification: Alcohol
ETHANOL:
Formula: C2H6O
Density: 789.00 kg/m³
Boiling point: 78.37 °C
Melting point: -114 °C
Molar mass: 46.06844 g/mol
IUPAC ID: ethanol
Classification: Alcohol
KITAALAMU
METHANOL na ETHANOL hutenganishwa kwa kutumia tofauti ya BOILLING POINTS zao
Biollingi point of Methanol= 64.7 °C
Boilling point of Ethanol=78.37 °C
Hivyo Methanol itaanza kutoka na Ethanol itabaki kama pombe halisi( pure alcohol) ambayo ni salama kwa matumizi
Nafikiri ni ufinyu tu wa kufikiri na sishangai sana maana hapa taifa ndipo lilipotufikisha, hatuna uwezo wa kuhoji wa kutafakari mambo kwa undani..
........haikupaswa kuzuia wauza gongo maana ndipo wanapopata hela kwa ajili ya kuendeleza familia zao zaidi ichukue hatua namna ya kuboresha utengenezwaji wa pombe hizi ili zisilete athari kwa watumiaji...
TUFIKIRI MARA NYINGI KWA KUTUMIA AKILI NA SI VINGINEVYO LA SIVYO TAIFA LITAENDELEA KUDUMAA NA HAKUNA JIPYA LITAKALOFANIKIWA TANZANIA.
===================================================================================