JAMBONIA LTD
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 584
- 274
Habari wataalam,
Kuna sehemu nimeomba mkopo ila katika kipengele cha dhamana (Collateral) nina hati ya kiwanja kupitia serikali ya kijiji, wahusika wamenambia ili waikubali niipeleke kwa mwanasheria ili iwe legal doccument.
Sasa nnachotaka kujua hii hati yangu nikiipeleka kwa mwanasheria ataigonga mhuri na saini yake ndani ya hati yangu au atatengeneza doccument nyengine? Maana naona kuandika andika katika hii hati kama itakua kupoteza originality ya hii hati.
Ahsante
Kuna sehemu nimeomba mkopo ila katika kipengele cha dhamana (Collateral) nina hati ya kiwanja kupitia serikali ya kijiji, wahusika wamenambia ili waikubali niipeleke kwa mwanasheria ili iwe legal doccument.
Sasa nnachotaka kujua hii hati yangu nikiipeleka kwa mwanasheria ataigonga mhuri na saini yake ndani ya hati yangu au atatengeneza doccument nyengine? Maana naona kuandika andika katika hii hati kama itakua kupoteza originality ya hii hati.
Ahsante