Tetesi: Kubadilisha kazi(recategoraization) kwa watumishi wa umma

Tetesi: Kubadilisha kazi(recategoraization) kwa watumishi wa umma

kibovu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
702
Reaction score
759
Wakuuuu poleni na majukum,Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi halimashauri fulani hapa nnchini.

Wakuuu Mimi nina shahada ya elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamiii(Bachelor Degree in Adult Education and Community development).

Ndugu zangu nimeomba kubadilisha kazi kwenda idara ya maendeleo ya jamiii afisa utumishi amenijibu kozi yangu haipo kwenye miundo.

Ndugu zangu Mimi naona hajanitendea haki naomba wajuzi wa mambo mje mnishauri katika hili .

Natanguliza shukrani za zati.
 
Mwalimu, watoto wetu wanakusubiri darasani, nenda kafundishe haraka.
 
Inaweza kuwa..maana kama hakuna job code kwa ulichosomea utalipwaje sasa..🤯[emoji15]nenda utumishi wakupe ufafanuzi..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mhhhh mm nataka next year nkasome BA in physical education and culture ili next niombe kuhamia ofisi za michezo na utamaduni halmashuri ya huku kwetu kolomije

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuuuu poleni na majukum,Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi halimashauri fulani hapa nnchini.

Wakuuu Mimi nina shahada ya elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamiii(Bachelor Degree in Adult Education and Community development).

Ndugu zangu nimeomba kubadilisha kazi kwenda idara ya maendeleo ya jamiii afisa utumishi amenijibu kozi yangu haipo kwenye miundo.

Ndugu zangu Mimi naona hajanitendea haki naomba wajuzi wa mambo mje mnishauri katika hili .

Natanguliza shukrani za zati.
ndugu yangu maendeleo ya jamii sio taaluma nam,anisha haitengenezi professionalism. ualimu ni utaalamu we baki huko zaidi ya yote salary hazitofautiani
 
Back
Top Bottom