Kubadilisha kozi ukiwa umeajiriwa na Serikali

Joined
Jun 29, 2024
Posts
7
Reaction score
8
Habari JamiiForums, Nina maswali mawili kidogo.

1. Nahitaji kukuuliza swali kidogo, hivi mtu akiajiriwa na Serikali anatakiwa kukaa miaka mingapi kazini ndo akasome tena mfano ana diploma anataka degree🙏

2. Na mfano Serikali imekuajiri kama mtu mwenye diploma ya environment health na unataka uende ukasome diploma ya diagnostic radiology hiyo inawezekana? Na kama inawezekana itachukua miaka mingapi ndio ukasome hiyo kozi baada ya kuajiriwa mfano serikali imekuajiri 2024, je 2025 inawezekana?
 
Kuna muongozo upo, unabana mtu kutoka nje ya career aliyo apply nayo, sina uhakika ila maafisa tawala wanajua hizi. Wana miongozo
 
1.kisheria miwili,ki taratibu,ukishathibitishwa tu
2.Kisheria haiwezekani,ikitokea huruma ya muajiri wako ama rushwa kwa maafisaa utumishi inawezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…