Nitamufikishia kama lilivyoLet me admit. JPM ana mapungufu ya kutosha. Hata hivyo, bado ni chaguo sahihi kwa vita ya ufisadi. I believe, pesa nyingi zimefichwa "majumbani chini ya magodoro". Ninamuomba achapishe noti mpya haraka iwezekanavyo. Kwenye matumizi ya dola amejitahidi sana. I advise him to do the same wakati wa kubadilisha old bank notes. Muda mfupi pia utumike wakati wa kubadilisha noti. Mengine namuachia mwenyewe maana he's the president and top decision maker in TZ
[emoji23][emoji23] mi mwenyewe zangu siweki bank zipo ndaniTigo pesa, m pesa, Airtel money ni kweli watu wameficha pesa siwezi kuweka pesa benki halafu ikawa inakatwa kisa service charges ni afadhali nikae nayo nione inavyotumika
😂😂Lazima itakuwa mchawi wewe sio bure!
Uko serious or joke him?Let me admit. JPM ana mapungufu ya kutosha. Hata hivyo, bado ni chaguo sahihi kwa vita ya ufisadi. I believe, pesa nyingi zimefichwa "majumbani chini ya magodoro". Ninamuomba achapishe noti mpya haraka iwezekanavyo. Kwenye matumizi ya dola amejitahidi sana. I advise him to do the same wakati wa kubadilisha old bank notes. Muda mfupi pia utumike wakati wa kubadilisha noti. Mengine namuachia mwenyewe maana he's the president and top decision maker in TZ
Ni wakati muafaka wabadili maana kuna forgery. Angalia nchi zingine mfano UK noti zao wamebadili hivyo forgery inakuwa ngumu sana. JPM fanya mambo hawa wezi lazima ziwaozee huko walikoficha.Una badilisha note kwa sababu gani!? Unajua athari ya kubadilisha pesa zako kila wakati au unaandika tu upupu
Lini UK walibadilisha note au USA mkuu tupe mwaka ili tujifunze.Ni wakati muafaka wabadili maana kuna forgery. Angalia nchi zingine mfano UK noti zao wamebadili hivyo forgery inakuwa ngumu sana. JPM fanya mambo hawa wezi lazima ziwaozee huko walikoficha.
''The polymer £20 notes, which went into circulation in February, replaced the old paper notes, leading many to question when the old currency will expire. The notes, which were released in February 2020, have been hailed as ‘the most secure banknote yet’ by the Bank of England, thanks to their plastic material.''Lini UK walibadilisha note au USA mkuu tupe mwaka ili tujifunze.
Let me admit. JPM ana mapungufu ya kutosha. Hata hivyo, bado ni chaguo sahihi kwa vita ya ufisadi. I believe, pesa nyingi zimefichwa "majumbani chini ya magodoro". Ninamuomba achapishe noti mpya haraka iwezekanavyo. Kwenye matumizi ya dola amejitahidi sana. I advise him to do the same wakati wa kubadilisha old bank notes. Muda mfupi pia utumike wakati wa kubadilisha noti. Mengine namuachia mwenyewe maana he's the president and top decision maker in TZ
| Denomination | Printing Costs |
|---|---|
| $1 and $2 | 7.7 cents per note |
| $5 | 15.5 cents per note |
| $10 | 15.9 cents per note |
| $20 | 16.1 cents per note |
Una wanyanyasa kijinsia eeh, ngoja waje wanasheria wa chama cha kutetea haki za wanawake!!.Kweli ndo maana biblia inasema wanawake tuishi nao kwa akili
Abadilishe Dollar tenaHivi kwa akili yako, mtu ana weka noti ya Tanzania ndani? Hao labda waswaga ng'ombe. Watu wanao jua thamani ya hela huzibadilisha kuwa pesa mzee.. Yaani dolari.. Ndio wana weka ndani. Lbda mwambie aongee na Biden abadilishe dola[emoji133]
Let me admit. JPM ana mapungufu ya kutosha. Hata hivyo, bado ni chaguo sahihi kwa vita ya ufisadi. I believe, pesa nyingi zimefichwa "majumbani chini ya magodoro". Ninamuomba achapishe noti mpya haraka iwezekanavyo. Kwenye matumizi ya dola amejitahidi sana. I advise him to do the same wakati wa kubadilisha old bank notes. Muda mfupi pia utumike wakati wa kubadilisha noti. Mengine namuachia mwenyewe maana he's the president and top decision maker in TZ
Mara nyingi sana watu wenye tabia kama hizi huwa hawana kitu,huwa wanafikiri ili wao wafarijike basi alienacho awe kama yeye,huu ni wivu wakijinga.Let me admit. JPM ana mapungufu ya kutosha. Hata hivyo, bado ni chaguo sahihi kwa vita ya ufisadi. I believe, pesa nyingi zimefichwa "majumbani chini ya magodoro". Ninamuomba achapishe noti mpya haraka iwezekanavyo. Kwenye matumizi ya dola amejitahidi sana. I advise him to do the same wakati wa kubadilisha old bank notes. Muda mfupi pia utumike wakati wa kubadilisha noti. Mengine namuachia mwenyewe maana he's the president and top decision maker in TZ
Ni nani tajiri mjinga ataficha fedha zake kabla ya kuzibadilisha kuwa riyal au dollar?Let me admit. JPM ana mapungufu ya kutosha. Hata hivyo, bado ni chaguo sahihi kwa vita ya ufisadi. I believe, pesa nyingi zimefichwa "majumbani chini ya magodoro". Ninamuomba achapishe noti mpya haraka iwezekanavyo. Kwenye matumizi ya dola amejitahidi sana. I advise him to do the same wakati wa kubadilisha old bank notes. Muda mfupi pia utumike wakati wa kubadilisha noti. Mengine namuachia mwenyewe maana he's the president and top decision maker in TZ
Yaani mkuu umekosa kitu cha kuandika/kusifia humu ili ulipwe umeona uandike ujinga huu???Let me admit. JPM ana mapungufu ya kutosha. Hata hivyo, bado ni chaguo sahihi kwa vita ya ufisadi. I believe, pesa nyingi zimefichwa "majumbani chini ya magodoro". Ninamuomba achapishe noti mpya haraka iwezekanavyo. Kwenye matumizi ya dola amejitahidi sana. I advise him to do the same wakati wa kubadilisha old bank notes. Muda mfupi pia utumike wakati wa kubadilisha noti. Mengine namuachia mwenyewe maana he's the president and top decision maker in TZ
Sijaelewa vizuri apaLet me admit. JPM ana mapungufu ya kutosha. Hata hivyo, bado ni chaguo sahihi kwa vita ya ufisadi. I believe, pesa nyingi zimefichwa "majumbani chini ya magodoro". Ninamuomba achapishe noti mpya haraka iwezekanavyo. Kwenye matumizi ya dola amejitahidi sana. I advise him to do the same wakati wa kubadilisha old bank notes. Muda mfupi pia utumike wakati wa kubadilisha noti. Mengine namuachia mwenyewe maana he's the president and top decision maker in TZ