Sifikirii kabisa kuweka spacer kwa sababu nasikia inaweza kuwababisha gari kupoteza balans yake hivyo uwezekano wa kupata ajali ukiwa kasi ni unaongezeka...Simshauri kuweka spacer. Hizo ni mbaya zaidi maana zinaondoa stability ya gari. Unajua hizi gari zinaundwa kwa vipimo. So asiweke spacer otherwise arudi kwenye tyres za awali kama amepanga ahame huko kwnye barabara mbaya. Kama ni kwake anunue gari ya juu.
Hivi kutoka 195/65/R15 na kuweka 195/7/R15 gari itainuka kwa sentimeta ngapi? Zinazidi 2cm?Tatizo umeweka rims kubwa kwenye gari ndogo. 17'' kwa Toyota Allex hata ungerudishia yale yale bado kwenye mashimo ingedunda. Huyu mwenzio gari yake ina 15'' haiwezi kugusa. Allex na Carina mle mle sasa mwenzio ana pungufu ya 2'' huwezi kusema itagusa kama yako. 15'' na 17'' hata kwa macho tu kuna tofauti kubwa sana.
Ni ya mwaka gani mkuu?Nataka kuongeza ground clearance ya gari (Toyota Isis) kwa kubadilisha tairi kutoka 195/65 R15 na kuweka 195/70R15 Je hiyo itasaidia? Na je inaweza kuwa na athari zozote hasi kwa mwenendo mzima wa gari?
Ya mwaka 2008Ni ya mwaka gani mkuu?
Mbili au tatu. Ni tofauti kubwa sana kwenye gari.Hivi kutoka 195/65/R15 na kuweka 195/7/R15 gari itainuka kwa sentimeta ngapi? Zinazidi 2cm?
Nataka kuongeza ground clearance ya gari (Toyota Isis) kwa kubadilisha tairi kutoka 195/65 R15 na kuweka 195/70R15 Je hiyo itasaidia? Na je inaweza kuwa na athari zozote hasi kwa mwenendo mzima wa gari?
Tofauti ndogo sana hio haiwezi kuleta madhara yoyote.
Matairi hayana madhara kwenye ulaji wa mafuta. Alloy wheels ndio zina madhara kwasababu ya uzito wake.Wanasema mafuta pia ulaji unaongezeka eti kwa sababu mvt ya tair inaongezeka, ulaji ni mkubwa sana?? Msaada mtaalamu
Matairi hayana madhara kwenye ulaji wa mafuta. Alloy wheels ndio zina madhara kwasababu ya uzito wake.
Badili shockups, huna shockup hapomkuu mimi zangu zilikua 205/45r17 nikaweka 205/50r17 na zikawa fresh sasa balaa linakuja ukiwa speed halafu ukapita sehem yenye kimuinuko au shimo au sehem yeyote inayoweza kufanya gari idunde matairi yanakwaruza kwenye bodi...
I think 17” rims ndio topHivi kwa Toyota Allex maximum size naweza funga ni tyre size gani?
acha uongo we kijamaaBadili shockups, huna shockup hapo
Unapewa ushauri mzuri unakuwa mbishi, yaani tofauti ya 5 iguse bodi??? Shockup huna.acha uongo we kijamaa
Sawa endelea kuhangaika na ma spaceracha uongo we kijamaa