Law school ni hela yako tu, nimeona usajili mtaanza tar.2 hadi 8 which means watakao jisajili tarehe hizo hawatafika 200, ni tarehe mbaya sanaa hizo, ukiwa na hela yako law school unaingia ata kama haukuapply, swala uwe na vigezo na masharti tu, kingine law school haijawai kua na kubadilishana kwa wanafunzi.