Kubadilishana kituo cha kazi kada ya Afya

Kubadilishana kituo cha kazi kada ya Afya

sagaciR

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2017
Posts
644
Reaction score
878
Mimi ni mtumishi wa umma kada ya Afya, nafanya kazi katika mkoa wa Njombe karbi na mji wa Makambako. Natafuta mtu wa kubadilishana nae kituo cha kazi kwa yeyote aliepo kati ya mikoa hii;-

>Mwanza
>Geita
>Shinyanga (Wilaya ya Kahama)
>Kagera
>Tabora, (Wilaya ya Nzega) na
>Mara

Sababu ni kuwa karb na familia yangu.

KARIBUNI
 
Njoo njombe nije Mbeya na wilaya zake,kada ya afya0765432283
 
Njoo Sikonge-Tabora nije kati ya wilaya hizi;-

1. Ifakara-Morogoro

2.Nzega-Tabora

3.Uyui-Tabora

Idara-afya
Kada-Uuguzi
Cheo-NM(EN)......1
Cheo-ANO(RN)....2

Mawasiliano;-
+255763127549

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natafta was kubadilishana naw, aje Mara Tarime DC ,niende Dodoma morogoro au Dar, awe manispaa
Lengo niwe karibu na Any specialized hospital.
 
Back
Top Bottom