maafisa vilimo maranyingi itakuwa hawapiti huku.
wapo bize kutoa handout kwa wakulima juu ya hali ya hewa na mazao yanayoweza kukubali kulingana na eneo husika
Kibikimunu[emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji1]MIMI NI AFISA KILIMO II HANDENI DC, NATAKA KWENDA KILOLO,IRINGA MJINI, IRINGA VIJIJINI, LUDEWA, WANGINGOMBE, MUFINDI, 0716999727
njoo darMimi ni afisa mifugo mkoa wa Njombe wilaya makete natafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi kazi,
Nitafute 0769493096.
My priority MBEYA, ARUSHA, MANYARA, MOROGORO, IRINGA, PWANI.
NITAFUTE.
Kuna AF Kilimo yupo BUNDA anatafuta wa kubadilishana naye toka moro mjini au Mvomero mawasiliano yake 0752964233
[emoji23][emoji23][emoji23]Aisee kumchomoa mtu hapa mjini aende kijijini ni sawa na maji kupanda mlima.
KWANN USITAFUTE MTU AMBAYE HAJAPATA AJIRA AMESOMA KADA YAKO AKUREPLACEMimi ni afisa mifugo mkoa wa Njombe wilaya makete natafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi kazi,
Nitafute 0769493096.
My priority MBEYA, ARUSHA, MANYARA, MOROGORO, IRINGA, PWANI.
NITAFUTE.
kwani wote wanamawazo kama yako? sio kila mtu anapahitaji.Aisee kumchomoa mtu hapa mjini aende kijijini ni sawa na maji kupanda mlima.
Mwalimu idara ya elimu msingi niko Bunda mjini nibadilishane na mtu aliyeko DodomaWewe ni mfanyakazi wa Serikali, Kada ya Kilimo (Afisa Mifugo, Afisa Kilimo, Bwana Nyuki n.k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Kutokana na wengi kuweka maombi ya watu wa kubadilishana nao kwenye nyuzi mbalimbali, tumeona ni vema kukawa na uzi mmoja ambao utawakutanisha wadau wote wenye mahitaji yanayofanana.
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingatia kuwa, kuweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.
MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.
Tunakutakieni utumishi mwema.