The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,899
Bado unaendeleaUzi tayari.
Tayari kabisa.Uzi tayari.
Mzee wa misumariShabalala alifeli wapi?
Siku hizi ameacha kupost kupost mipicha ktk mitandao ya kijamii[emoji15]
Yaani hata hatuelewi Nini kakosea Ila itakuwa mambo hayakuwa sawa katika maeneo mengi kitu kilichofanya Simba ipoteze zile mechi 2Shabalala alifeli wapi?
Siku hizi ameacha kupost kupost mipicha ktk mitandao ya kijamii[emoji15]
Kwake Zimbwe,, Zimbwe tena anapaka rangi mpira[emoji16]Mzee wa misumari
Kiwango chake kimeshuka kidogoYaani hata hatuelewi Nini kakosea Ila itakuwa mambo hayakuwa sawa katika maeneo mengi kitu kilichofanya Simba ipoteze zile mechi 2
Kweli kimeshuka kidogo, ingawa kwa mtazamo wangu timu nzima imeshuka kiwango tangu mechi ya sumbawanga.Kiwango chake kimeshuka kidogo
Ile mikrosi yake siku hizi sijui anaipigaje?
Ila ndo mpiraKweli kimeshuka kidogo, ingawa kwa mtazamo wangu timu nzima imeshuka kiwango tangu mechi ya sumbawanga.
Hicho ndio kilimfelisha, alishindwa kuongoza timu ndani ya uwanja.Shabalala alifeli wapi?
Siku hizi ameacha kupost kupost mipicha ktk mitandao ya kijamii[emoji15]
Basi ni wakati sasa wa Gadiel kuanzaKiwango chake kimeshuka kidogo
Ile mikrosi yake siku hizi sijui anaipigaje?
Tatizo kocha wetu kishingo anakariri wachezaji hivyo ushindani wa namba umepungua siamini Kahata aliyekuwa kwenye fomu uwezo umepungua, Shabalala hata afanye madudu gani bado ataanza, timu ameijenga kwa kumtegemea Chama kiasi asipokuwepo hamna kitu.Kiujumla molari imeshuka ktk team
Hata tunapofunga goli huoni wachezaji wakishangilia kama zamani, zaman tulikuwa na uchu kwelikweli, tunaufata mpira wavuni na kuupeleka kati hivi sasa sion hiyo hali.
Kasi yetu uwanjani imepungua sio kama msimu uliopita,
Sitoshangaa msimu huu tukiukosa ubingwa.
Unaona bocco anavokosa magoli ya wazi kabisa[emoji15]
Tunapiga pasi nyingi nusu ya uwanja kurudi nyuma kitu ambacho kinapungusa kasi uwanjani,
Lile goli alilofunga Ndemla ndio style yetu sasa, pasi tatu mko golini.
Nakubaliana na ww.Tatizo kocha wetu kishingo anakariri wachezaji hivyo ushindani wa namba umepungua siamini Kahata aliyekuwa kwenye fomu uwezo umepungua, Shabalala hata afanye madudu gani bado ataanza, timu ameijenga kwa kumtegemea Chama kiasi asipokuwepo hamna kitu.
Ushindi wa simba ni juhudi binafsi za wachezaji kuliko uwezo wa kocha