makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mpira wa bongo pasua kichwanasemekana tshabalala na kuna wenzie walikula mlungula hapa katikati kuhujumu simba s.c, hizo habari nilizikutia mwishoni mwishoni kiongozi wa tawi fulani akihadithia watu wakawa kama hawamuamini, akampigia jamaa yake, kiongozi mkubwa simba, jamaa akakiri kidogo ila alikuwa anaingia kwenye kikao, akasema atampigia baadae.. Mie nikawaacha hapo wakijadili, hiyo nilisikia siku kadhaa kabla ya game na kagera sugar. Ndio sakata hilo limekula saana vichwa vya watu pale msimbazi, na walisema aliyebumbulua ni jonas mkude, yeye ndio aligoma kula mlungula, akasema kwa john bocco, bocco ndio kufikisha habari kwa wakubwa, uchunguzi kuanza na kukamatwa baadhi ya watu.
Saana, kumejaa vitu vya kipuuzi.Mpira wa bongo pasua kichwa
Waliwaacha kina Deo Kanda na Shibob ambao impact yao tulikuwa tukiiona kisa kocha alikuwa anawaweka benchi, Rashid juma ni bora mara mia kuliko Ajib , nafasi ya kiungo mkabaji tulikuwa tunamtegemea Fraga leo kaumia hakuna wa kuziba pengo kwani kiwango cha Mkude kimepungua sana, Shabalala hamna kitu na ikitokea kesho tukafungwa goli makosa yataanzia kwake hajui kumark wala kuzuiaNyoni kaisha kabisa hata kama umri umeenda
Ajibu akipewa nafasi haitumii vile inavotakiwa
Bocco ndo huyo nafasi tano za kufunga anapata moja
Kagere + Mugalu majeraha yanawasumbua sana
Hapo umenena kwanza sidhani kama yule jamaa ni kochaTatizo kocha wetu kishingo anakariri wachezaji hivyo ushindani wa namba umepungua siamini Kahata aliyekuwa kwenye fomu uwezo umepungua, Shabalala hata afanye madudu gani bado ataanza, timu ameijenga kwa kumtegemea Chama kiasi asipokuwepo hamna kitu.
Ushindi wa simba ni juhudi binafsi za wachezaji kuliko uwezo wa kocha
Labda wana madai ya bonus.nasemekana tshabalala na kuna wenzie walikula mlungula hapa katikati kuhujumu simba s.c, hizo habari nilizikutia mwishoni mwishoni kiongozi wa tawi fulani akihadithia watu wakawa kama hawamuamini, akampigia jamaa yake, kiongozi mkubwa simba, jamaa akakiri kidogo ila alikuwa anaingia kwenye kikao, akasema atampigia baadae.. Mie nikawaacha hapo wakijadili, hiyo nilisikia siku kadhaa kabla ya game na kagera sugar. Ndio sakata hilo limekula saana vichwa vya watu pale msimbazi, na walisema aliyebumbulua ni jonas mkude, yeye ndio aligoma kula mlungula, akasema kwa john bocco, bocco ndio kufikisha habari kwa wakubwa, uchunguzi kuanza na kukamatwa baadhi ya watu.
Haturumbani ndo maana hujaona lugha chafu, bali kila mmoja ametoa maelezo kulingana na kile kinachoonekana uwanjaniTuwaachie viongozi wanajua.
Kikubwa timu ifanye vizuri ,lengo letu NI moja Haina haja kurumbana yeyote Yule NI captain wetu.
Haturumbani ndo maana hujaona lugha chafu, bali kila mmoja ametoa maelezo kulingana na kile kinachoonekana uwanjani
Sawa kiongoziNi kweli Ila .siku hizi Simba inaendeshwa kisomi na kisasa.
Tuwaachie viongozi wafanye kazi yao .
Tusiwe Kama wale wa bwawani kocha haujulikani, kiongozi haujulikani shabiki haujulikani wote Ni washauri.
duuh,sasa kama ni kweli bado wanampanga wa nini huyu anatakiwa kufungiwa ndani ya club tena kwa press release. upumbavu huo (ila kama ni kweli)nasemekana tshabalala na kuna wenzie walikula mlungula hapa katikati kuhujumu simba s.c, hizo habari nilizikutia mwishoni mwishoni kiongozi wa tawi fulani akihadithia watu wakawa kama hawamuamini, akampigia jamaa yake, kiongozi mkubwa simba, jamaa akakiri kidogo ila alikuwa anaingia kwenye kikao, akasema atampigia baadae.. Mie nikawaacha hapo wakijadili, hiyo nilisikia siku kadhaa kabla ya game na kagera sugar. Ndio sakata hilo limekula saana vichwa vya watu pale msimbazi, na walisema aliyebumbulua ni jonas mkude, yeye ndio aligoma kula mlungula, akasema kwa john bocco, bocco ndio kufikisha habari kwa wakubwa, uchunguzi kuanza na kukamatwa baadhi ya watu.
Sidhani kama ni kweli, hio scandal sio ndogo asinge cheza tena japo niwe na akiba ya manenoduuh,sasa kama ni kweli bado wanampanga wa nini huyu anatakiwa kufungiwa ndani ya club tena kwa press release. upumbavu huo (ila kama ni kweli)
Hata siku hiyo hakuwa Captain Bali kaptain alikuwa mkudeHicho ndio kilimfelisha, alishindwa kuongoza timu ndani ya uwanja.
Mechi na prison pamoja na madudu ya refa aliyekuwa anatoka na kumkabili refa ni Erasto Nyoni wakati yeye alikuwa ametulia kama hamna jambo.
Sidhani kama ni rais tshabalala kula pesa labda Manula na Kennedy hata hiyo ya bocco ni hapana maana pesa ilipelekwa sumbawanga ambapo bocco yeye alibaki dar ila infomer wa management huwa ni said ,yule jamaa anapewa mshahara mkubwa kwasababu hiyonasemekana tshabalala na kuna wenzie walikula mlungula hapa katikati kuhujumu simba s.c, hizo habari nilizikutia mwishoni mwishoni kiongozi wa tawi fulani akihadithia watu wakawa kama hawamuamini, akampigia jamaa yake, kiongozi mkubwa simba, jamaa akakiri kidogo ila alikuwa anaingia kwenye kikao, akasema atampigia baadae.. Mie nikawaacha hapo wakijadili, hiyo nilisikia siku kadhaa kabla ya game na kagera sugar. Ndio sakata hilo limekula saana vichwa vya watu pale msimbazi, na walisema aliyebumbulua ni jonas mkude, yeye ndio aligoma kula mlungula, akasema kwa john bocco, bocco ndio kufikisha habari kwa wakubwa, uchunguzi kuanza na kukamatwa baadhi ya watu.
Mkude alikuwa captain siku ya mechi ya Simba na Ruvu ambayo Boko aliingia akakosa penati na hakuvaa kitambaa cha unahodhaHata siku hiyo hakuwa Captain Bali kaptain alikuwa mkude
Kwa maelezo niliyookota juu juu pale, wanadai anacheza sijui kwa kuwa hakuonesha kuiuwa simba uwanjan, ila manula lile goli la kipuuzi ndio likamdhihirisha wazwazi anahujumu timu, na walisema hawezi kucheza game zinazofata, sijui huko mbeleni..duuh,sasa kama ni kweli bado wanampanga wa nini huyu anatakiwa kufungiwa ndani ya club tena kwa press release. upumbavu huo (ila kama ni kweli)
Sikusikia kennedy kutajwa, ila manula alitajwa.Sidhani kama ni rais tshabalala kula pesa labda Manula na Kennedy hata hiyo ya bocco ni hapana maana pesa ilipelekwa sumbawanga ambapo bocco yeye alibaki dar ila infomer wa management huwa ni said ,yule jamaa anapewa mshahara mkubwa kwasababu hiyo
Huwa anapost hata wakiwa wanakula waliShabalala alifeli wapi?
Siku hizi ameacha kupost kupost mipicha ktk mitandao ya kijamii[emoji15]
ngoja tusubiri ila kama ni kweli basi ni ufala sana kwa wachezaji wa Simba kula hela. japo sio ya kushangaa sana maana hata maofisi mabosi wanalipwa mishahara minono ila kwa rushwa wako vizuriSidhani kama ni kweli, hio scandal sio ndogo asinge cheza tena japo niwe na akiba ya maneno
[emoji851][emoji851]Huwa anapost hata wakiwa wanakula wali