Mwalimu wa kubadilishana kituo
cha kazi. Mimi ni mwalimu wa sekondari nipo halmashauri ya mji mpanda,
nataka kubadilishana kituo cha kazi na mwalimu kutoka shinyanga mjini,
atakayependa kufanya kazi halmashauri ya mji mpanda. Mawasiliano:-
0784914677
Airtel...?Unanipa mashaka na eneo ulilopo..!
Mkuu me ningeweza
kubadilishana na wewe kama ungeandika mtandao wa tigo, lakin airtel
mmmhh!! inaonesha uko ndani ndani xana.