Osama hafanishwagi na vitu vya kijinga kama hivi.Hata Osamah walimchelewesha
Osama hafanishwagi na vitu vya kijinga kama hivi.
ok sawaLengo lilikuwa Wewe kuelewa sio kumlinganisha Osamah na Mange
Mkuu povu Hahaha so mange afai kuwa na status ya Osama??Osama hafanishwagi na vitu vya kijinga kama hivi.
Naona kama kaandika "pipa na mfuniko"Sasa umeandika nini!
Je ukikuta babako anayo utamuonaje pia?Mwanaume ambaye ana app ya Instagram sijui huwa namuonaje!It's more girlishly hiyo app
Mkuu povu Hahaha so mange afai kuwa na status ya Osama??
Sijui hata huko Instagram unaingiaje!
Na sina haja ya kuingia ilhali kuna ma sugarboys kama Salary Slip wanaoingia huko na kutuletea kinachojiri huko.
I stay put in my JF.
Akitupa humu wengi sasa watakuwa na Uhuru wa kumjibu bila kupigwa kufuli kama IG,huku hatahimili kukosolewa maana hapendi sana kukosolewa,always she is rightMange afungue account humu jf atupe ubuyu. Watu weng watajiunga na kutumia jf
We usiseme hivo watamuandama max_clixus mpk jf ifungwe kisa mange akiwa huku [HASHTAG]#mawazoHuru[/HASHTAG]Mange afungue account humu jf atupe ubuyu. Watu weng watajiunga na kutumia jf
Now it is information Age, and we go for online business.Mwanaume ambaye ana app ya Instagram sijui huwa namuonaje!It's more girlishly hiyo app
Duh, pole sana.Mie hata nikishtuka saa 8 za usiku naingia kwa Mange nasoma yaliyojili afu narudi kulala. Yani sasa hivi sina hata hamu ya kuweka bando mana Mange simpati.
ukiwa na Sura mbovu lazma uichukie insta[emoji23]Mwanaume ambaye ana app ya Instagram sijui huwa namuonaje!It's more girlishly hiyo app