Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakn Uwanja wa mpra Arusha usinge jengwaAmini usiamini Magufuli angekuwepo sahizi mabasi ya mwendokasi yangekuwa yanapishana Barbara ya mbagala mengine yanaena na mengine yanarudi
R.I.P Jembe langu
Unauwezo mdogo sana uwanja wa mpira unakusaidia nini wewe?Lakn Uwanja wa mpra Arusha usinge jengwa
Kama umewahi kusikia Chawa Wa Mama na hujawahi kukutana nao. Basi hongera hatimaye umekutana nae mmoja.Unauwezo mdogo sana uwanja wa mpira unakusaidia nini wewe?
Unauwezo mdogo sana uwanja wa mpira unakusaidia nini wewe?
Mm hata hyo ya mbaga hanisaidi maana skai mbagalaKama umewahi kusikia Chawa Wa Mama na hujawahi kukutana nao. Basi hongera hatimaye umekutana nae mmoja.
Hawa watu wanabiringita kwa hisia na mahaba kama hawana akili ya kufikiri kimantiki.
Hamna jambo baya kama kuua, kupora kutesa kubagua visasi. watu wasio kua na hatia, hilo lilifanya magufuri kua kiongozi mbaya kupita woteKwenye serikali yake mambo niliyokuwa napinga ni matatu. Utekaji, kubambikia watu kesi na double standards.
Ukiachana na hayo jamaa alikua Mzalendo na alikua na nia ya dhati ya kutuletea maendeleo. Japo wengi wanasema ni maendeleo ya vitu sio watu ila naamini msoto ungekuwa wa muda.
Angalieni sahivi sio tu hatupati maendeleo ya vitu hata watu pia. Na kama atapewa awamu nyingine nawaambieni tumekwisha.
R.I.P Magufuli. Nakukumbuka kwa kila jema ulilofanyia Taifa hili.a
ccm ni ile ile tu kwa kisingizio cha raisi
Hana yule angetoa wapi? Mradi wenyewe wa WB lazima uwabembeleze.Amini usiamini Magufuli angekuwepo sahizi mabasi ya mwendokasi yangekuwa yanapishana Barbara ya mbagala mengine yanaena na mengine yanarudi
R.I.P Jembe langu