Kama kweli kuna wakufunzi wanamjibu vibaya hawamtendei haki huyu kijana, mbona wanafunzi darasani mara nyingi wanauliza utumbo na mnawajibu wanaelewa na kuridhika??
Aeleweshwe huyu hivi hajui hadi walimu wa primary siku hizi wana piga part time?
dogo university sio primary school those are lecturers. ukienda mandela arusha au kule statistics changanyikeni karibia 90% ya wakufunzi wanatoka vyuo vya nje s.africa, usa, europe na australia. wake up umeishaingia chuo kikuu japo cha kata.