kubana uume baada ya tendo

Aisee UKIMWI kwisha Tanzania tusahau

Mkuu kuna jamaa ana multiple organisms, hebu tupe shule ya multiple organisms from human beings, yawezekana tumepata mutation halafu hatujijui
 
Kiukweli mwanamme akinifanyia hivyo namuona kama Choko flani hivi,
 
Kiukweli mwanamme akinifanyia hivyo namuona kama Choko flani hivi,

wenzako wanpenda hiyo tena wajimwagie usoni watakate iwaondoe chunusi uso uteleze uwe kama wa mtoto mchangana nyinge wanywe. kila mtu na mapenzi yake na kuna unalofanya wewe wenzako wanakuona choko pia
 
Kwa mujibu wa mafunzo yangu ya jandoni,kubana wakati 'mzee' anataka kutema husababisha uhanisi. Ndivyo nilivyofundishwa. Nafuatilia mafunzo yangu kwelikweli
 
yalaaaaaaaaaaaaaa 😛ound:

kumbe kuna vi-organisms kwenye ejaculation, tena kuna multi-organisms :nono::nono:

aisee.... :nono: :nono::nono::A S confused:

ha ha ha ha ha!,jamani mbavu zangu
 
Mie naona mkuu Innocent Prince anamaanisha orgasm, jamani lugha hii ni lugha ya tatu kujifunza ina changamoto zake. Big up kwa wote mliofunguka kumuelewesha mleta mada.
 
Last edited by a moderator:
Usichomoeee!!!! Utamu kunogaaaaaaa!!! Chezeya utamu wa kunanihii weye!!!


 
Last edited by a moderator:
Mkuu kubaba bana hilo bichwa kitu kinaweza ku-burst one day....

hahahahahah, saiv naacha, ntakuwa na kibakul changu kwa pemben, nikiskia linakuja tu nachomoa fasta natupia kwenye bakuli hahahahahahh
 
Hongera yako bana kwa kuweza kubana hiyo kitu isitoke wakati imeshajiachia huko ndani,mi siwezi kabisa,hebu ni pm unipe hako kautaalamu unafanyaje,mie huwa naonaga bora niache tu mpaka zile siku nzuri ndio nafanya.

teh teh teh, hamna jipya kamanda, ni tymin 2
 
Kumbe wewe bado mwanafunzi kwenye tasnia hii. Kwi kwi kwi
yalaaaaaaaaaaaaaa 😛ound:

kumbe kuna vi-organisms kwenye ejaculation, tena kuna multi-organisms :nono::nono:

aisee.... :nono: :nono::nono::A S confused:
 
Timing ninao wawili mpaka sasa hivi. Napumzika kidogo Mungu akipenda niongeze wengine 2,tuanze kula raha za duniani.

good and congrats

je unataka kuniambia tangu uanze kula hilo duduz umepigwa bao mbili tu??
 
hakuna kinga nyingine inayofaa? hayo mambo ya kumwaga nje ni hatari kama ishu ni kukwepa mimba...
 
CONDOM kwa mpenz wangu?????? hapana bwana kitu nyama kwa nyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…