Inawezekana kwa mwanamke kupata ujauzito kwa umri tajwa...
Isipokuwa kitabibu huwa haishauriwi sana mwanamke kusubiri hadi umri tajwa ili abebe mimba...
Kadiri umri ungezekavyo ndivyo hata afya ya mayai nayo hupungua, si mayai ya mwanamke tu bali hata mbegu za kiume (assumption ni kuwa mara nyingi mwanaume huwa mkubwa kiumri kuliko mwanamke)...
Sasa hebu jiulize zao la yai na mbegu dhaifu zitapelekea dhaifu pia (chenye ulemavu au matatizo ya kijenetiki)...
Kuna complications nyingine huwa ni kubwa kwa mwanamke mwenye umri 35+ kama kisukari cha mimba, mimba kuchomoka n.k...